HOW TO ANALYSE MARKET

kuna mda unaweza amua direction kwa kutumia trendline tu, lakini sasa uwe unajua unachokichora ni nini katika hizo trendline , siku hizi kuna watu wanachora demand na supply tu alafu anaonmesha wapi market itaelekea kitu ambacho si kweli kuna vitu vingi sana nje ya hizo supply na demand, je kwenye hiyo vchart hapo juu umegundua nini? je hii hapa chini?


                                                      
Je kuna kitu umekigundua? kama ni hapana au ni ndiyo lakini unahitaji kujifunza zaidi usikose kunitafuta kwa nambari ya simu 0766667797 kwa masomo ya biashara ya forex

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post

ads

ads